333. Njooni kwa Mponya

1.  Njooni kwa Mponya, 

    njooni leo, 

    sikilizeni Neno lake.

    Anapenda kutubariki, 

    atuita: “Njooni!” 

          Kweli tutaona furaha

          tukifika kwenye raha kuu, 

          tukisafishwa mioyo yetu 

          na Yesu Mwokozi.


2.  Njooni kwa Yesu, mfuateni,

    mpeni mioyo itikeni! 

    Kweli ni boma likingalo 

    hatari zozote. 

           Kweli tutaona …


3.  Amini, Bwana awapenda.

    Amini, atawabariki, 

    atawahurumia wote, 

    wamjiao yeye.

           Kweli tutaona … 

Comments

Popular posts from this blog

276. Nina Haja Nawe

257. Haya ee Moyo Wangu

265. Mganga Wetu ni Karibu