311. Neno la Mungu Takata

1. Neno la Mungu takata 

   lililotoka mbinguni; 

   ambalo moto na panga 

   haziwezi kulishinda. 

   Twakushika siku zote 

   maishani na kufani.


2. Waliotutangulia 

   waliokutegemea,

   wamekufia mashujaa; 

   nasi tulio watoto. 

   Twakushika …


3. Neno la Mungu takata, 

   tukushuhudie nasi 

   kwa neno tamu na 

   tendo kunako wenzi au adui.

   Twakushika … 

Comments

Popular posts from this blog

276. Nina Haja Nawe

257. Haya ee Moyo Wangu

265. Mganga Wetu ni Karibu