297. Kuna Chemchem Itokayo

1.  Kuna chemchemi itokayo 

    damu ya wokovu.

    Chemchemi itendayo makuu

     na kutufariji.


2.  Shida zangu zinakwisha 

    zote kwa damu hii,

    kwani Yesu amekufa

    kwa ajili yangu.


3.  Mwana Kondoo damu 

    yako inayo nguvu kuu.

    Tupe roho wako Bwana, 

    Tuwe watu wapya.


4.  Nami mwenye dhambi 

    nyingi nimekombolewa.

    Kwa damu hii ya Mwokozi,

    namsifu Yeye tu.


5.  Damu hii inanipa 

    furaha ya kweli. 

    Sababu hii nitamsifu 

    Mwokozi daima.


Comments

Popular posts from this blog

276. Nina Haja Nawe

257. Haya ee Moyo Wangu

265. Mganga Wetu ni Karibu