278. Mshangilie Bwana



1. K: Mshangilie Bwana dunia yote, mshangilie 

W: Bwana dunia yote.


2. K: Msifu Bwana na shangwe kubwa, msifuni 

W: Bwana na shangwe kubwa.


3. K: Njooni mbele zake kwa nyimbo nzuri; njooni mbele 

W:Zake kwa nyimbo nzuri.


4. K: Jueni kwmba Bwana ndiye Mungu, jueni 

W:Kwamba Bwana ndiye Mungu.


5. K: Ndiye Muunba wetu, sisi watu wake; ndiye Muumba 

W: Wetu, sisi watu wake.


6. K: Malishoni mwake atuongoza; malishoni 

W: Mwake atuongoza.


7. K: Ingieni mwake kwa kumshukuru; ingieni 

W: Mwake kwa kumshukuru.


8. K: nyuani mwake tumsifu sote; nyuani 

W: Mwake tumsifu sote.


9. K: Na jina lake tulihimidi; na jina 

W: Lake tulihimidi.


10. K: Bwana ndiye mwema siku zote kwetu, Bwana ndiye 

W: Mwma siku zote kwetu.


11. K: rehema zake ni za milele; rehema 

W: Zake ni za milele.


12. K: Uaminifu wake kwa vizazi vyote; uaminifu 

W: Wake kwa vizazi vyote.

Comments

Popular posts from this blog

276. Nina Haja Nawe

257. Haya ee Moyo Wangu

265. Mganga Wetu ni Karibu