261. Sifuni Bwana
1. Sifuni Bwana
watoto kwa furaha!
Anasikia
nyimbo zetu watoto.
Sababu hii mwimbieni!
2. Twapenda sana,
kupaza sauti zetu,
kukuimbia
tena kukushukuru,
tunaokaa duniani.
3. Unasikia watoto waimbao,
nasi twaomba:
utupeleke kwako,
tukusifu na malaika.
Comments
Post a Comment