249. Kwa Kuwa Hutaogopa
1. Kwa kuwa hutaogopa
ushuhuda wake,
ishara ile msalaba
ndiyo alama kuu.
2. Kwa kuwa hutaogopa
kusimama naye
utukufu uupokee,
na kuaibishwa.
3. Kwa kuwa hutauacha
uimara wako,
tetea Jina la Yesu,
usije ogopa.
4. Kwa kuwa utapitia
kwa njia nyembamba
inua huo msalaba usiaibike.
5. Nasi twajiweka kwake,
kwa hiyo ishara,
msalaba beba duniani,
mbinguni ni taji.
Comments
Post a Comment