242. Tumsifu Mungu Bwana
1. Tumsifuni Mungu
Bwana Mtakatifu
anatawala vizuri popote,
asiyekubali wabaya watutese,
tumsifu Mungu wetu,
hakutusahau.
2. Tulipoumia alituokoa,
atusaidia tulio wake.
Nasi twawashinda
maadui popote,
sababu Bwana wetu
anatuongoza.
3. Twamsifu Mwenyezi
aliye mbinguni.
Twamwomba:
“Uzidi kutubariki,
mwovu asipate
kutudhuru kwa hila,”
twasifu Jina lako,
Mwokozi wetu mkuu.
Comments
Post a Comment